Kuhusu Idhaa ya Kiswahili ya BBC

Idhaa yetu inaajiri waandishi wa habari na watangazaji kutoka nchi zote zinazozungumza Kiswahili na vilevile katika sehemu nyingine za Afrika.

Mhariri: Caroline Karobia.

Waandishi waandamizi:

Ruth Nesoba

Odhiambo Joseph

Peter Mwai

Nairobi, Kenya:

Waandishi wa mtandaoni: Seif Abdalla na Idris Situma

Watangazaji: Ng'endo Angela, Gladys Njoroge, Shaaban Ndege, Jason Nyakundi, Robert Kiptoo, Dinah Gahamanyi, Muliro Telewa, Dayo Yusuf, John Nene na Odeo Sirari.

Waandishi wa Habari: Emmanuel Igunza, Wanyama Chebusiri, Ferdinand Omondi, Anne Soy, Jamhuri Mwavyombo, Abdinoor Aden na Bashkas Jugsoday.

Global News Beat:- Anthony Irungu [Nairobi] na Paula Odek [Nairobi]

Dar es Salaam, Tanzania:

Watangazaji: John Solombi, Regina Mziwanda, Lizzy Masinga, Halima Nyanza na Leonard Mubali

Waandishi wa Habari mjini Dar es Salaam:

Aboubakar Famau, Tulanana Bohela, Kulthum Maabad na Esther Namuhisa

Uganda:

Siraj Kalyango

Burundi:

Ismail Misigaro

Rwanda:

Yves Bucyana

Afrika ya Kusini:

Omar Mutasa